Obadia UTANGULIZI - Swahili Congo Revised Bible 2002
UTANGULIZIKitabu hiki cha nabii Obadia ni kidogo kuliko vitabu vyote vya manabii. Unabii wa Obadia unashugulikia mambo mawili: azabu ya taifa la Edomu (aya 1-14), na Siku ya Yawe ambapo Waisraeli watalipiza kisasi watu wa Edomu. Labda kitabu hiki kidogo sana kiliandikwa kule katika inchi ya Yuda muda mufupi mbele ya kurudi kutoka katika uhamisho.