Walawi 12 - Swahili Congo Revised Bible 2002

Kuwatakasa wanawake kisha kuzaa

1Yawe akamwambia Musa:

2Uwaambie watu wa Israeli hivi: Mwanamuke akipata mimba na kuzaa mutoto mwanaume, atakuwa muchafu kwa muda wa siku saba sawa vile anavyokuwa kwa wakati wake wa ugonjwa wa mwezi.

3Mutoto huyo atatahiriwa katika siku yake ya nane.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help