1 Mambo ya Siku UTANGULIZI - Swahili Congo Revised Bible 2002

UTANGULIZIVitabu viwili vinavyoitwa “Mambo ya Siku” vinaweza kufikiriwa kama kitabu kimoja. Vyote kwa jumla ni kumbukumbu ya historia ambayo inaeleza habari za watu wa Israeli, tangu mwanzo wao mpaka wakati wa kupelekwa katika uhamisho kule Babeli. Mwanzo wa kitabu cha kwanza cha Mambo ya Siku ni hesabu ya uzao wa Waisraeli, tangu Adamu mpaka Daudi (sura 1-9). Sehemu ya pili ya kitabu, ni kusema sura 10-29, inaelekea zaidi historia ya utawala wa Daudi na kutayarisha ujenzi wa hekalu.
Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help