1Malkia wa Seba aliposikia sifa za Solomono, basi akafika Yerusalema kwa kumujaribu Solomono kwa maulizo magumu. Alifika Yerusalema akisindikizwa na watu wengi sana, pamoja na ngamia waliobeba marasi, zahabu nyingi sana na mawe ya bei kali. Na alipofika kwa Solomono, akamwuliza maulizo yote aliyokuwa nayo ndani ya moyo wake. marasi, farasi na nyumbu. Zawadi hizi alizipokea kila mwaka.
25Mufalme Solomono akakuwa na vibanda elfu ine vya kuwekea farasi na magari, na waaskari wapanda-farasi elfu kumi na mbili ambao aliwaweka katika miji yenye vituo vya magari ya farasi na kwake katika Yerusalema. Kifupi cha utawala wa Solomono(1 Fal 11.41-43)
29Matendo mengine ya Solomono, kutoka mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika kitabu cha “Historia ya Nabii Natani,” katika “Unabii wa Ahiya wa Shilo,” na katika “Maono ya Ido Mwonaji,” juu ya Yeroboamu mwana wa Nebati.
30Solomono alitawala inchi yote ya Israeli kwa miaka makumi ine.
31Kisha Solomono akakufa na kuzikwa katika muji wa baba yake Daudi. Mwana wake Rehoboamu akatawala kwa pahali pake.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.