Amosi UTANGULIZI - Swahili Congo Revised Bible 2002

UTANGULIZIAmosi aliishi mbele ya manabii wengine wote ambao tumeachiwa vitabu vyao. Yeye alizaliwa katika ufalme wa kusini wa Yuda lakini akaitwa kutumika katika ufalme wa kaskazini katika mwaka 750 mbele ya Kristo.Wakati huu ulikuwa wa fanaka na maendeleo ya uchumi na usalama. Lakini Amosi aliona kwamba hali hiyo ilipatikana kwa kutesa na kugandamiza wamasikini. Utimizaji wa mambo ya dini ulikuwa wa unafiki, na usalama wa kisiasa haukukuwa imara. Amosi alishitaki ukosefu wa haki katika taifa kwa uhodari wa pekee. Aliwaambia watu kwamba Mungu atawaazibu. Mwito wake kwa waongozi wapate kushika haki haukupokelewa vizuri. Alikatazwa kufanya kazi yake ya kinabii kule Beteli.
Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help