2 Mambo ya Siku 36 - Swahili Congo Revised Bible 2002

Mufalme Yoahazi wa Yuda(2 Fal 23.30-35)

1Watu wa inchi ya Yuda wakatwaa Yoahazi, mwana wa Yosia, wakamuweka kuwa mufalme pahali pa baba yake.

2Yoahazi alikuwa na umri wa miaka makumi mbili na mitatu alipoanza kutawala; akatawala kwa muda wa miezi mitatu akiwa kule Yerusalema.

3Kisha mufalme wa Misri akamwondoa kule Yerusalema na kulipisha inchi kodi ya kilo elfu tatu na mia ine za feza na kilo makumi tatu na ine za zahabu.

4Kisha mufalme wa Misri akamweka Eliakimu, ndugu ya Yoahazi kuwa mufalme wa Yuda na Yerusalema, na akabadilisha jina lake kuwa Yoyakimu; lakini Neko akamupeleka ndugu yake Yoahazi mpaka Misri.

Mufalme Yotakimu wa Yuda(2 Fal 23.36–24.7)

5Yoyakimu alikuwa na umri wa miaka makumi mbili na mitano alipoanza kutawala, akatawala kwa muda wa miaka kumi na mumoja akiwa kule Yerusalema. Alitenda maovu mbele ya Yawe, Mungu wake. mwana wake akatawala pahali pake.

Mufalme Yoyakini wa Yuda(2 Fal 24.8-17)

9Yoyakini alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, alitawala kule Yerusalema kwa muda wa miezi mitatu na siku kumi. Alitenda maovu mbele ya Yawe.

10Mwaka ulipokwisha, mufalme Nebukadneza alituma wajumbe, wakamuchukua Yoyakini na kumupeleka mpaka Babeli, pamoja na vyombo vya bei kali vya nyumba ya Yawe. Akamweka ndugu yake Sedekia kuwa mufalme wa Yuda na Yerusalema. Mufalme Sedekia wa Yuda(2 Fal 24.18-20; Yer 52.1-3)

11Sedekia alikuwa na umri wa miaka makumi mbili na mumoja alipoanza kutawala, akatawala kule Yerusalema kwa muda wa miaka kumi na mumoja. , haitalimwa siku zote itakapokuwa ukiwa mpaka miaka makumi saba itakapotimia.” Kiro anawaamuru Wayuda warudio kwao(Ezra 1.1-4)

22Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Kiro mufalme wa Persia, kusudi litimie neno la Yawe alilolisema kwa njia ya nabii Yeremia, Yawe aliamusha nia ya Kiro naye akatoa amri hii katika ufalme wake wote, vilevile alituma habari hizo kwa njia ya maandiko:

23“Hivi ndivyo anavyosema Kiro mufalme wa Persia: ‘Yawe, Mungu wa mbingu, amenipatia falme zote za ulimwengu, na ameniagiza nimujengee nyumba katika Yerusalema, katika inchi ya Yuda. Basi sasa kila mutu kati yenu, ninyi wote munaokuwa watu wa Yawe, Mungu wake akuwe pamoja naye, na aende.’ ”

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help