Yoshua UTANGULIZI - Swahili Congo Revised Bible 2002

UTANGULIZIJina la kitabu hiki linatokana na mutu mwenye heshima ambaye anahusika sana katika mambo tunayosimuliwa humu, ni kusema Yoshua. Yoshua alipewa madaraka ya kuwaongoza Waisraeli nyuma ya kifo cha Musa. Aliwaongoza Waisraeli mpaka walipoinyanganya ile inchi ambayo Mungu alikuwa ameahidi kuwapa. Kitabu hiki kinaeleza jinsi Waisraeli walivyoingia katika inchi ya Kanana, wakarizi inchi hiyo na kuigawanya. Kina sehemu hizi:Sura 1-12: Kuteka Kanana.Sura 13-21: Jinsi inchi inavyogawanyiwa makabila ya IsraeliSura 22: Kurudi kwa makabila ya mashariki katika sehemu yaoSura 23: Hotuba ya Yoshua ya kuwaaga WaisraeliSura 24: Kuhakikisha agano kati ya Yawe na Waisraeli
Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help