2 Mambo ya Siku 6 - Swahili Congo Revised Bible 2002

Hotuba ya mufalme Solomono(1 Fal 8.12-21)

1Halafu Solomono akasema:

“Yawe alisema kwamba

atakaa katika giza kubwa.

2Hakika nimekujengea nyumba tukufu

kuwa makao yako ya milele.”

3Kisha Solomono akageukia mukutano wote wa watu wa Israeli wakiwa wanasimama akawabariki.

Hotuba ya mufalme Solomono(1 Fal 8.12-21)

4Akasema: “Atukuzwe Yawe, Mungu wa Israeli, maana kwa nguvu zake ametimiza ahadi yake aliyoitoa kwa baba yangu Daudi akisema:

42“Ee Yawe, Mungu,

usimugeuzie masiya wako mugongo.

Kumbuka wema wako kwa mutumishi wako Daudi.”

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help