1Halafu Solomono akasema:
“Yawe alisema kwamba
atakaa katika giza kubwa.
2Hakika nimekujengea nyumba tukufu
kuwa makao yako ya milele.”
3Kisha Solomono akageukia mukutano wote wa watu wa Israeli wakiwa wanasimama akawabariki.
Hotuba ya mufalme Solomono(1 Fal 8.12-21)4Akasema: “Atukuzwe Yawe, Mungu wa Israeli, maana kwa nguvu zake ametimiza ahadi yake aliyoitoa kwa baba yangu Daudi akisema:
42“Ee Yawe, Mungu,
usimugeuzie masiya wako mugongo.
Kumbuka wema wako kwa mutumishi wako Daudi.”
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.