1Kisha hayo, Yobu akaamua kusema. Akalaani siku aliyozaliwa.
22Mutu kama yule atashangilia sana na kufurahi
atakapokufa na kuzikwa!
23Kwa nini kumujalia uzima mutu ambaye njia zake zimefungwa,
mutu ambaye Mungu amemwekea kizuizi?
24Kuugua ndicho chakula changu.
Malalamiko yangu yanatiririka kama maji.
25Kile ninachoogopa kimenipata;
ninachohofu ndicho kilitokea.
26Sina amani wala utulivu;
sipumziki, taabu imenifikia.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.