Esteri UTANGULIZI - Swahili Congo Revised Bible 2002

UTANGULIZIKitabu cha Esteri kinasimulia jinsi Wayuda walivyookolewa kutoka vitisho vya kuangamizwa. Mambo hayo yalitokea kule katika muji wa Susani wakati utawala wa Persia ulipokuwa umeenea katika Mashariki ya Kati yote mpaka Misri. Wamoja kati ya jamaa zenye heshima za watu wa Israeli hawakurudia kwao kutoka Babeli wakati wa kuangamia kwa utawala wa Babeli (mwaka wa 539 mbele ya Kristo).
Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help