Wimbo wa Solomono UTANGULIZI - Swahili Congo Revised Bible 2002
UTANGULIZIKatika Kiebrania kitabu hiki kinaitwa Wimbo wa Nyimbo, ni kusema wimbo muzuri kupita zote. Wamoja wamewaza kwamba tenzi hizi ni juu ya upendo unaokuwa kati ya Mungu na watu wake au kati ya Kristo na Kanisa lake. Wengine wanawaza kwamba ni tenzi juu ya mapenzi kati ya mume na muke.