Walawi UTANGULIZI - Swahili Congo Revised Bible 2002
UTANGULIZIKitabu hiki kinaonyesha sheria za Waisraeli wa zamani juu ya kuabudu Mungu na juu ya kuishi pamoja. Sheria hizo zinaweza kuonekana kigeni kwa watu wa leo, lakini zinawakumbusha wanadamu wote kwamba ushirika kati ya Mungu na watu wake ni jambo kubwa na la kushika.