Waamuzi UTANGULIZI - Swahili Congo Revised Bible 2002
UTANGULIZIKatika kitabu hiki, “waamuzi” walikuwa watu walioongoza makabila ya Israeli kuanzia wakati wa nyuma ya Waisraeli kuirizi inchi ya Kanana mpaka wakati walipojipatia mufalme wa kwanza (ni kusema labda kati ya mwaka 1200 na 1000 mbele ya Kristo).