Ufunuo 20 - Swahili Roehl Bible 1937

Satani anafungwa miaka elfu.

1Kisha nikaona malaika aliyeshuka toka mbinguni; alikuwa ameushika ufunguo wa kuzimu na mnyororo mnene mkononi mwake.Kushindwa kabisa kwa Satani.

7Hiyo miaka elfu itakapomalizika, Satani atafunguliwa kifungoni mwake;

8ndipo, atakapotoka kuwadanganya wamizimu walioko katika pembe nne za nchi, ni wale wa Gogi na wa Magogi, awakusanye kupiga vita, nao watakuwa wengi kama mchanga wa ufukoni.Hukumu ya mwisho.

11Kisha nikaona kiti cheupe kikubwa cha kifalme naye yeye aliyekikalia. Usoni pake nchi na mbingu zikakimbia, lakini hazikuonewa mahali pao pa kuwapo.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help