2 Wakorinto 4 - Swahili Roehl Bible 1937

Utume wa Paulo.

1Kwa sababu tumepewa utumishi huo, nasi kwa hivyo, tulivyohurumiwa, hatuchoki;

3*Lakini Utume wetu mwema ukiwa umefunikwa, uko umefunikwa kwao walio wenye kuangamia;Nguvu ya kumtegemea Mungu.

7Hiki kilimbiko chetu tunacho, lakini kimo katika vyombo vya udongo, kusudi zile nguvu nyingi zilizomo zijulike kwamba: Ndizo zake Mungu, kwamba: Hazotoki kwetu sisi.

16Kwa hiyo hatuchoki, maana ikiwa miili yetu huchakaa, mioyo yetu hupata upya siku kwa siku.2 Kor. 4:10; Ef. 3:16.

17Kwani maumivu yetu yaliyo ya sasa hivi tu, yapitayo upesi, huzidi kutupatia utukufu usiopimika, usio na mwisho,Rom. 8:17-18; Ebr. 12:11.; Ebr. 11:1.

18tusipoyatazama yaonekanayo, ila yale yasiyoonekana. Kwani yaonekanayo hukaa siku chache tu, lakini yasiyoonekana ni ya kale na kale.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help