Mashangilio 39 - Swahili Roehl Bible 1937

Kilio cha mtu apatwaye na majaribu.Kwa mwimbishaji Yedutuni. Wimbo wa Dawidi.

1Nilisema: Nitaziangalia njia zangu, nisiukoseshe ulimi wangu; nacho kinywa changu nitakiangalia na kukifumba, asiyemcha Mungu akingali yuko mbele yangu.

7Sasa ningojee nini, Bwana wangu? Ninakungojea wewe peke yako.

8Katika mapotovu yangu yote niopoe, lakini usinitoe kuwa wa kusimangwa nao wapumbavu!

9Nitanyamaza tu, nisikifumbue kinywa changu, kwani wewe ndiwe uliyeyafanya.

12Bwana, yasikie maombo yangu! Vilio vyangu sharti vifike masikioni mwako! Nayo machozi yangu usiyanyamazie! Kwani mimi ni mgeni tu apangaye kwako, kama baba zangu wote walivyokuwa.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help