Hosea 11 - Swahili Roehl Bible 1937

Huruma zake Mungu zilizo kuu.

1Isiraeli alipokuwa kijana, nilimpenda; huko Misri ndiko, nilikomwitia mwanangu.

9Sitayafanya, ukali wangu wenye moto uyatakayo,

sitamwangamiza tena Efuraimu,

kwani mimi ni Mungu, si mtu;

namo katikati yenu mimi ni mtakatifu,

nisije kuingia kwenu kwa machafuko.

10Watakuja kumtafuta Bwana, atakaponguruma kama simba;

kweli atakaponguruma, ndipo, watakapokuja kwa kutetemeka

wao watoto watokao upande wa baharini.

11Watamkimbilia kama ndege kwa kutetemeka wakitoka Misri,

au kama hua wakiitoka nchi ya Asuri;

ndipo, nitakapowakalisha nyumbani mwao; ndivyo, asemavyo Bwana.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help