Wagalatia 3 - Swahili Roehl Bible 1937

Wongofu hupatikana kwa kumtegemea Mungu.

1Enyi Wagalatia, hamna akili? Ni uganga gani uliowashinda, msiyatii yaliyo ya kweli? Mmeonyeshwa Yesu Kristo, mmtazame kwa mambo yenu, alivyowambwa msalabani.

2Neno hili tu nataka kuambiwa nanyi: Mmempokea Roho kwa kuyafanya Maonyo au kwa kuyategemea, mliyoyasikia?

3Imekuwaje, akili zikiwapotea hivyo? Mliyoyaanza Rohoni, mwataka kuyamaliza sasa miilini?

4Yale yote mmeteswa bure? Kweli siyo ya bure!Kuongozwa na Maonyo.

23*Lakini tegemeo lilipokuwa halijatokea bado, tulilindwa, tuyatii Maonyo, tukawa tumefungwa pamoja, tungoje, tegemeo litakapofunuliwa.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help