1Ninapokulilia, niitikie, Mungu unipaye wongofu! Hunipatia mahali pakubwa, nikiwa nimesongwa; sasa nihurumie na kuyasikia maombo yangu!
2Ninyi wana wa watu mpendao mambo ya bure, mpaka lini mwanitia soni na kuninyima heshima, mpaka lini mtayanyatia yaliyo uwongo tu?
3Lakini tambueni, ya kuwa Bwana humkuza amchaye! Bwana hunisikia, kila ninapomlilia.
4Stukeni, msije kukosa! Semeni mioyoni mwenu, mnapolala, mpate kutulia!
6Wako wengi wanaosema kwamba: Yuko nani atakayetuonyesha kilicho chema? Bwana, utokeze mwanga wa uso wako, uwe juu yetu!
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.