Waebureo 8 - Swahili Roehl Bible 1937

Agano Jipya.

1Neno lililo kuu katika hayo, tuliyoyasema, ni hili: Tunaye mtambikaji mkuu aliyeketi mbinguni kuumeni kwa kiti cha kifalme chenye ukuu.

9Halitakuwa, kama Agano lile lilivyokuwa,

nililolifanya na baba zao siku ile,

nilipowashika mikono, niwatoe katika nchi ya Misri;

kwani wao wenyewe hawakulishika Agano langu,

nami nikawakataa; ndivyo, asemavyo Bwana.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help