2 Mose 31 - Swahili Roehl Bible 1937

Kuweka mafundi wawili.(1-6: 2 Mose 35:30-35; 7-11: 2 Mose 35:11-19.)

1Bwana akamwambia Mose kwamba:

2Tazama, nimemwita kwa jina lake Besaleli, mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa shina la Yuda.

3Nikamjaza roho yangu ya Kimungu na kumgawia werevu wa kweli na utambuzi na ujuzi wa kutengeneza kazi yo yote,

18Bwana alipokwisha kusema na Mose akampa kule mlimani kwa Sinai mbao mbili za Ushahidi, nazo zilikuwa za mawe zenye machoro, Mungu aliyoyachora kwa kidole chake.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help