Yona 4 - Swahili Roehl Bible 1937

Yona anaonywa na Bwana.

1Hivi vikamkasirisha Yona sana na kumchafua moyo wake,

4Bwana akamjibu: Je? Ni vema ukichafuka hivyo?

5Kisha Yona akatoka mle mjini, akakaa nje ya mji upande wa maawioni kwa jua, akajijengea kibanda kidogo, akakaa chini yake kivulini, mpaka aone, mambo ya mji yatakavyokuwa.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help