1Bwana ni mfalme, kwa hiyo makabila ya watu hutetemeka. Yeye anakaa juu ya Makerubi, lakini nchi inayumbayumba.
6Mose na Haroni walikuwa miongoni mwao watambikaji wake, Samueli alikuwa miongoni mwao waliolililia Jina lake.Yer. 15:1.
7Alisema nao akiwa amejificha katika wingu lililokuwa kama nguzo, wao wakayashika maneno, aliyowashuhudia, hata maagizo, aliyowapa.
8Bwana, wewe ndiwe Mungu wetu. uliwaitikia kwa kuwa Mungu wao aondoaye makosa, tena kwa ajili ya matendo yao ukawalipiza.
9Mtukuzeni Bwana, Mungu wetu! Mwangukieni mlimani kwenye utakatifu wake! Kwani Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.