1Kwa ajili yao watendao mabaya usijichafushe moyo, wala wafanyao mapotovu usiwaonee wivu!
12Asiyemcha Mungu huwaza, jinsi atakavyomponza mwongofu, hukereza meno yake kwa ajili yake yeye.
13Lakini Bwana humcheka kwa kupaona, siku yake itakapofika.
21Asiyemcha Mungu hukopa, asiweze kulipa; mwongofu huweza kugawia na kuwapa watu.
22Kwani wabarikiwao naye Bwana huitwaa nchi, lakini waapizwao naye watang'olewa.
32Asiyemcha Mungu humwotea mwongofu akitafuta kumwua.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.