1 Mose 50 - Swahili Roehl Bible 1937

Yakobo anazikwa Heburoni.

1Yosefu akamwangukia baba yake usoni, akamlilia na kumnonea.Kufa kwake Yosefu.

24Kisha Yosefu akawaambia ndugu zake: Mimi ninakufa, lakini ninyi Mungu atawapatia njia ya kuwatoa katika nchi hii na kuwapandisha kwenda katika hiyo nchi, aliyowaapia akina Aburahamu na Isaka na Yakobo kuwapa.Ebr. 11:22.

25Kisha Yosefu akawaapisha wana wa Isiraeli kwamba: Hapo, Mungu atakapowakagua ninyi, sharti mwichukue mifupa yangu kwenda nayo!2 Mose 13:19; Yos. 24:32.

26Kisha Yosefu akafa mwenye miaka 110, wakampaka manukato, wakamweka ndani ya sanduku huko Misri.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help