1 Mose 26 - Swahili Roehl Bible 1937

Isaka anabarikiwa na Bwana huko Gerari kwa Wafilisti.

1Njaa ikaingia katika nchi hiyo kuliko ile njaa ya kwanza iliyokuwako siku za Aburahamu; ndipo, Isaka alipokwenda Gerari kwa Abimeleki, mfalme wa Wafilisti.

26Huko Abimeleki na rafiki zake Ahuzati na Pikoli, mkuu wa vikosi, wakamwendea na kutoka Gerari.Ndoa ya kwanza ya Esau.

34Esau alipokuwa mwenye miaka 40 akamwoa Yuditi, binti Mhiti Beri; kisha naye Basimati, binti Mhiti Eloni.1 Mose 36:2-3.

35Wote wawili wakamtia Isaka naye Rebeka uchungu mwingi rohoni.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help