Ezekieli 25 - Swahili Roehl Bible 1937

Ufunuo wa mambo, Waamoni watakayoyaona.

1Neno la Bwana likanijia la kwamba:

2Mwana wa mtu, waelekezee wana wa Amoni uso wako, uwafumbulie yatakayokuwa!Ufunuo wa mambo, Wafilisti watakayoyaona.

15Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Kwa kuwa Wafilisti waliendelea kujilipiza, wakijilipiza na kutoza malipizi kwa mioyo yenye mabezo, wakayazidisha mabaya yao kwa kushika machukio ya kale na kale,Yes. 14:29; Yer. 47; Sef. 2:5.

16kwa hiyo Bwana Mungu anasema hivi: Mtaniona, nikiwakunjulia Wafilisti mkono wangu, niwaangamize hao Wakreta na kuyapoteza masao yao yaliyoko pwani kwenye bahari.1 Sam. 30:14.

17Nami nitawatoza malipizi makubwa na kuwapiga kwa makali yenye moto. Ndipo, watakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana, nitakapowatoza malipizi yangu.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help