Mashangilio 89 - Swahili Roehl Bible 1937

Dawidi aliyoagiwa.(Taz. 2 Sam. 7:8-16.)Fundisho la Etani aliye wa ukoo wa Ezera.

1Magawio ya Bwana nitayaimbia kale na kale,

6Ndipo, mbingu zilipoyatukuza mataajabu yako, Bwana, welekevu wako ukatukuzwa nao kwenye mkutano wa watakatifu.

7Kwani kule mawinguni yuko nani aliye mkuu kama Bwana? Nako kwenye wana wa Kimungu yuko nani afananaye na Bwana?

20Kale ulisema katika njozi nao waliokucha, ukawaambia: Yuko mwenye nguvu, niliyempa ushindaji; niliyemchagua nimemkweza, awapite wote ukuu.

39Kisha wewe umemtupa na kumkataa; yeye, uliyempaka mafuta, umemchafukia.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help