Ufunuo 11 - Swahili Roehl Bible 1937

Nyumba ya Mungu inapimwa. Mashahidi wawili.

1Kisha nikapewa mwanzi uliofanana na fimbo, nikaambiwa: Inuka, ulipime Jumba la Mungu na meza ya Bwana nao wenye kutambikia mlemle!Baragumu la saba.

15Malaika wa saba alipopiga baragumu, kukawa na sauti kuu nyingi mbinguni zikisema:

Ufalme wa ulimwengu umekwisha kuwa wake

Bwana wetu na wa Kristo wake;

ndiye atakayetawala kale na kale pasipo mwisho.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help