Waefeso 5 - Swahili Roehl Bible 1937

Yaepukeni matendo ya giza!

1Mwigeni Mungu, kama inavyowapasa watoto wapendwa!

15*Kwa hiyo angalieni sana, mtakavyoendelea! Msiwe wenye ujinga, ila mwe wenye werevu wa kweli!Mke amtii mumewe! Mume ampende mkewe!

22Ninyi wanawake, watiini waume wenu, kama mnavyomtii Bwana!

31Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake,

agandamiane na mkewe, nao hao wawili watakuwa mwili mmoja.1 Mose 2:24.

32Fumbo hili ni gumu la kulifumbua, lakini mimi nasema la Kristo na la wateule!

33Lakini hata ninyi kila mmoja wenu na ampende mkewe, kama anavyojipenda mwenyewe! Lakini mke amche mumewe!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help