Yosua 15 - Swahili Roehl Bible 1937

Mipaka na miji ya Yuda.

1Shina la wana wa Yuda kura ikalipata nchi za kuzigawanyia koo zao kwenye mpaka wa Edomu; mpaka wao wa kusini uliipita nyika ya Sini iliyokuwa mwisho wa upande wa kusini.

48Tena milimani: Samiri na Yatiri na Soko,

49na Dana na Kiriati-Sana, ndio Debiri,

50na Anabu na Estemo na Animu,

51na Goseni na Holoni na Gilo; ni miji 11 pamoja na mitaa yao.

52Arabu na Duma na Esani,

53Yanumu na Beti-Tapua na Afeka,

54na Humuta na Kiriati-Arba, ndio Heburoni, na Siori; ni miji 9 pamoja na mitaa yao.

55Maoni, Karmeli na Zifu na Yuta,

56na Izireeli na Yokidamu na Zanoa,

57Kaini, Gibea na Timuna; ni miji 10 pamoja na mitaa yao.

58Halihuli, Beti-Suri na Gedori,

59na Marati na Beti-Anoti na Eltekoni; ni miji 6 pamoja na mitaa yao.

60Kiriati-Baali, ndio Kiriati-Yearimu, na Raba; ni miji 2 pamoja na mitaa yao.

61Nyikani: Beti-Araba, Midini na Sekaka,

62na Nibusani na Mji wa Chumvi na Engedi ni miji 6 pamoja na mitaa yao.

63Lakini Wayebusi, ndio wenyeji wa Yerusalemu, wana wa Yuda hawakuweza kuwafukuza; kwa hiyo Wayebusi wakakaa pamoja na wana wa Yuda mle Yerusalemu mpaka siku hii ya leo.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help