Mashangilio 27 - Swahili Roehl Bible 1937

Bwana huwalinda walio wake, ijapo siku ziwe mbaya.Wa Dawidi.

1Bwana ni mwanga wangu na wokovu wangu, nimwogope nani? Bwana ni ngome, nilimpoponea, nimstuke nani?

4Hili moja, ninalolitaka sana, namwomba Bwana, nikae Nyumbani mwa Bwana siku zote za maisha yangu, niutazame na kuuchunguza uzuri wake Bwana Jumbani mwake.

5Kwani hunifunika kambini kwake, siku ikiwa mbaya; hunificha fichoni penye hema lake akinikweza mwambani.

11Bwana, nifundishe njia yako na kuniongoza, nifuate mapito yanyokayo, waninyatiao wasinipate!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help