Mashangilio 14 - Swahili Roehl Bible 1937

Upumbavu wao wasiomcha Mungu.(Taz. Sh. 53.)Kwa mwimbishaji. Wa Dawidi.

1Mpumbavu husema moyoni mwake: Hakuna Mungu. Hawafai kitu, mapotovu yao hutapisha, anayefanya mema hayuko.

2Bwana huchungulia toka mbinguni awatazame wana wa watu, aone, kama yuko mwenye akili anayemtafuta Mungu.

4Je? Wale wote wafanyao maovu hawataki kujitambua, wao wanaowala walio ukoo wangu, kama walavyo mkate? Lakini Bwana hawamtambikii!

7Laiti mwokozi wake Isiraeli atokee Sioni, Bwana awarudhishe mateka walio wa ukoo wake! Ndipo, Yakobo atakaposhangilia, ndipo, Isiraeli atakapofurahi.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help