Ezekieli 18 - Swahili Roehl Bible 1937

Mungu anampatilizia kila mtu makosa yake.

1Neno la Bwana likanijia la kwamba:Mungu hupendezwa, wasiomcha wakijuta.

21Lakini asiyemcha Mungu akirudi na kuyaacha makosa yake yote, aliyoyafanya, ayashike maongozi yangu yote na kufanya yaliyo sawa yaongokayo, basi, atapata uzima wa kweli, hatakufa.

22Nayo mapotovu yake yote, aliyoyafanya, hayatakumbukwa, ila atapata uzima kwa wongofu wake, alioufanya.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help