Mashangilio 7 - Swahili Roehl Bible 1937

Bwana huwaamulia waliosongwa.Lalamiko la Dawidi, alilomwimbia Bwana kwa ajili ya Mbenyamini Kusi.

1Bwana Mungu wangu, nimekukimbilia wewe.

3Bwana Mungu wangu, kama yako mambo, niliyoyafanya, kikawamo kipotovu mikononi mwangu,

11Mungu ni mwamuzi mwenye wongofu, ni Mungu atishaye kila siku:Sh. 9:5.

12mtu akikataa kugeuka, ataunoa upanga wake, nao uta wake ataupinda na kuuelekeza.5 Mose 32:41; Omb. 2:4; 3:12.

13Vyombo viuavyo ndivyo, atakavyopachika humo, nayo mishale yake ataiwakisha moto.

14Mwenye kujifunga, atokeze kiovu, mtazameni: huwa kama mwenye mimba ya kuzaa maumivu, lakini anapozaa, ni madanganyo ya kumdanganya yeye!

15Akiwa amechimba shimo na kulitanua, hutumbukia mwenyewe mlemle mwenye mwina, alioutengeneza yeye.Fano. 26:27.

16Maumivu yake ya kuumiza wengine humrudia kichwani pake, nayo makorofi yake humshukia utosini.

17Kwa ajili ya wongofu wake namshukuru Bwana, naliimbia Jina lake Bwana Alioko huko juu.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help