1Ndugu, twawatambulisha kipaji cha Mungu, wateule wa Makedonia walichogawiwa:Kumtuma Tito na ndugu wengine.
16Lakini na tumshukuru Mungu aliyempa Tito kujihimiza vivyo hivyo moyoni mwake kwa ajili yenu.
17Kwani tulipombembeleza, akaitikia. Lakini kwa hivyo, alivyokaza kujihimiza, aliondoka kwenda kwenu kwa mapenzi yake mwenyewe.
18Tukatuma pamoja naye ndugu mmoja anayesifiwa kwenye wateule wote hivyo, anavyoutangaza Utume mwema.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.