Ufunuo 8 - Swahili Roehl Bible 1937

Muhuri ya saba.

1Alipoifungua muhuri ya saba, vyote vilivyomo mbinguni vikawa kimya kama nusu saa.Fumbo la mabaragumu saba.

2Nikawaona wale malaika saba waliosimama mbele ya Mungu, wakipewa mabaragumu saba.

8Malaika wa pili alipopiga baragumu, pakatupwa baharini yaliyokuwa kama mlima mkubwa uliowaka moto. Ndipo, fungu la tatu la bahari lilipokuwa damu;

13Nikaona, nikasikia, tai mmoja aliyeruka mbinguni kati akisema kwa sauti kuu: Kondo! Kondo! Kondo! Zitawapata wakaao katika nchi, yatakapolia mabaragumu yaliyosalia ya wale malaika watatu waendao kuyapiga!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help