1Napaza zauti, nimlilie Bwana,
6Nimekupalizia sauti, Bwana, nikasema kwamba: Wewe u kimbilio langu na fungu langu nchini kwao walio hai.
7Yaangalie malalamiko yangu! Kwani nimekorofika sana. Niopoe kwao wanikimbizao! Kwani nguvu zao hunishinda.Sh. 27:13.
8Itoe roho yangu kifungoni, ilishukuru Jina lako! Waongofu watanizunguka, ukinitendea mema.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.