Mashangilio 42 - Swahili Roehl Bible 1937

Kitabu cha pili.(Sh. 42—72.)Kumtamani Mungu na Patakatifu pake.Kwa mwimbishaji. Fundisho la wana wa Kora.

1*Kama kuro anavyolilia maji ya mtoni, ndivyo, roho yangu inavyokulilia wewe, Mungu.

6Roho yangu inajihangaisha humu ndani yangu, kwa sababu hii ninakukumbuka huku, niliko katika nchi za Yordani kwenye Hermoni nako mlimani kwa Misari.

7Maanguko yako ya maji yakinguruma, vilindi vinaitana, kisha mafuriko na mawimbi yako yote huja kunifunika.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help