2 Mose 11 - Swahili Roehl Bible 1937

Mungu anawaagiza Waisiraeli, wajiweke tayari kutoka Misri.

1Bwana akamwambia Mose: Liko pigo moja bado, nitakalompatia Farao nao Wamisri, baadaye atawapa ninyi ruhusa kutoka huku; naye hapo, atakapowapa ruhusa kwenda zenu na mali zenu zote, atawakimbiza ninyi kabisa kuondoka huku.

2Kwa hiyo sema masikioni mwa watu hawa, waombe vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu kila mtu kwa mwenziwe, hata kila mwanamke kwa mwenziwe.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help