1 Mambo 7 - Swahili Roehl Bible 1937

Vizazi vya Isakari.

1Nao wana wa Isakari: Tola na Pua na Yasubu na Simuroni, ni watu wanne.Vizazi vya nusu ya shina la Manase.

14Wana wa Manase: Asirieli, aliyemzaa suria yake wa Kishami, ndiye aliyemzaa naye Makiri, babake Gileadi.Vizazi vya Aseri.

30Wana wa Aseri: Imuna na Isiwa na Iswi na Beria, naye Sera aliyekuwa umbu lao.1 Mose 46:17.

31Nao wana wa Beria: Heberi na Malkieli, huyu ndiye baba yao wa Birzaiti.

32Heberi akamzaa Yafuleti na Someri na Hotamu, naye umbu lao Sua.

33Nao wana wa Yafuleti: Pasaki na Bimuhali na Asiwati. Hawa ndio wana wa Yafuleti.

34Nao wana wa Semeri: Ahi na Roga na Huba na Aramu.

35Nao wana wa ndugu yake Helemu: Sofa na Imuna na Selesi na Amali.

36Wana wa Sofa: Sua na Harneferi na Suali na Beri na Imura,

37Beseri na Hodi na Sama na Silisa na Itirani na Bera.

38Nao wana wa Yeteri: Yefune na Pisipa na Ara.

39Nao wana wa Ula: Ara na Hanieli na Risia.

40Hawa wote walikuwa wana wa Aseri, vichwa vya milango ya baba zao, mafundi wa vita wenye nguvu nyingi waliochaguliwa, wawe vichwa vya wakuu; wao walioandikwa katika kitabu cha udugu kuwa katika vikosi vya wapiga vita hesabu yao ilikuwa watu 26000.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help