Mashangilio 30 - Swahili Roehl Bible 1937

Wimbo wa mtu aliyeokolewa katika kufa.Wimbo wa Dawidi wa kuiimbia siku ya weuo wa nyumba.

1Nitakutukuza Bwana, kwani umeniopoa, hukuwapa adui zangu kunifurahia mimi.

4Ninyi mmchao Mungu, mwimbieni Bwana wenu! Mshukuruni, mwakumbushe watu utakatifu wake!

5Kwani makali yake hukaa punde kidogo tu, kuwapa watu uzima ndiko kunakompendeza. Kama jioni tunakwenda kulala wenye kilio, asubuhi kimegeuka kuwa kicheko.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help