Tito 2 - Swahili Roehl Bible 1937

Kuwaonya waume na wanawake na watumwa.

1Lakini wewe sema yapatanayo na ufundisho utupao uzima!Mema ya Mungu yenye kuleta wokovu.

11*Kwani mema yake Mungu, ayagawiayo watu wote ya kuwaokoa, yametokea waziwazi,

12nayo hutuonya, tuuvunje mwenendo wa kimizimu, tusizifuate tamaa za humu ulimwenguni, ila siku hizi za sasa za kuishi duniani tuwe wenye werevu wa kweli na wenye wongofu na wenye kumcha Mungu.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help