1Wengi walijaribu kuandika masimulio ya mambo yale yaliyotimilika kwetu.
2Waliyafuatafuata yale waliyoambiwa na wenye kuyaona yote kwa macho yao, yalivyokuwa tangu mwanzo, kwani walikuwa wamelitumikia lile Neno.
3Sasa nami nimeyafuata na kuyachungua yote mpaka hapo, yalipoanzia, nikaona, inafaa, nikuandikie sawasawa, kama yalivyofuatana, mwenzangu Teofilo,Wimbo wa Maria.
46Maria akasema:
Bwana ndiye, moyo wangu unayemkuza,
47roho yangu humshangilia Mungu, mwokozi wangu.
48Maana ameutazama unyenyekevu wa kijakazi wake;
kwani tokea sasa itakuwa, wao wa vizazi vyote wanishangilie.
49Amenifanyia makuu kwa kuwa mnguvu, Jina lake ni
takatifu.
50Huruma yake huwajia vizazi kwa vizazi wamwogopao.
51Hufanya ya nguvu kwa mkono wake
akiwatawanya waliojikweza katika mawazo ya mioyo yao.
52Huangusha wenye nguvu katika viti vya kifalme,
lakini wao walio wanyenyekevu huwapandisha.
53Walio wenye njaa huwashibisha mema,
lakini wenye mali huwaacha, wajiendee mikono mitupu.
54Alipokumbuka huruma, akamsaidia mtoto wake Isiraeli,
55kama alivyowaambia baba zetu, akina Aburahamu
nao walio uzao wake kwamba: Wawe wa kale na kale!
56Maria akakaa kwake, yapata miezi mitatu, kisha akarudi nyumbani kwake.
Kuzaliwa kwake Yohana.57Elisabeti siku zake za kuzaa zilipotimia, akazaa mtoto mume.
58Majirani zake na ndugu zake waliposikia, ya kuwa Bwana amemwonea huruma nyingi, wakafurahi pamoja naye.
59Ilipokuwa siku ya nane, wakaja kumtahiri mtoto, wakamwita jina la baba yake: Zakaria.
80Yule mtoto alipokua akapata nguvu Rohoni, akakaa nyikani mpaka siku, alipowatokea Waisiraeli.*
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.