1 Mose 8 - Swahili Roehl Bible 1937

Mwisho wa mafuriko ya maji.

1Kisha Mungu akamkumbuka Noa na wale nyama wote nao nyama wa nyumbani waliokuwa naye chomboni; ndipo, Mungu alipovumisha upepo juu ya nchi; kwa hiyo maji yakaanza kupwa.Kiagio cha Mungu.

21Bwana aliposikia huo mnuko wa kumpendeza Bwana akasema moyoni mwake: Sitaiapiza nchi tena kwa ajili ya watu, kwani mawazo ya mioyo ya watu ni mabaya tangu utoto wao, wala sitawapiga tena wote walio hai, kama nilivyofanya.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help