Mateo 11 - Swahili Roehl Bible 1937

1Yesu alipokwisha kuwaagiza haya wanafunzi wake kumi na wawili akaondoka, alikokuwa, akaenda kufundisha watu na kuwapigia ile mbiu katika miji yao.

Wajumbe wa Yohana.(2-19: Luk. 7:18-35.)

2*Lakini Yohana alipozisikia mle kifungoni kazi zake Kristo akatuma wanafunzi wake wawili,Ufumbuaji wa Yohana.

7Wao walipokwenda zao, Yesu akaanza kusema na yale makundi ya watu mambo ya Yohana: Mlipotoka kwenda nyikani mlikwenda kutazama nini? Mlikwenda kutazama utete unaotikiswa na upepo?Kuikaripia miji.(20-24: Luk. 10:12-15.)

20Ndipo Yesu alipoanza kuikaripia miji, yalimofanyika ya nguvu yake mengi, kwa maana haikujuta.

21Akasema: Yatakupata, wewe Korasini! Yatakupata, wewe Beti-Saida! Kwani ya nguvu yaliyofanyika kwenu, kama yangalifanyika Tiro na Sidoni, wangalijuta kale na kujivika magunia na kujikalisha majivuni.Kuwaita wenye kusumbuka.(25-27: Luk. 10:21-22)

25*Siku zile Yesu akasema kwamba: Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwani hayo umewaficha werevu na watambuzi, ukawafunulia wachanga.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help