Marko 12 - Swahili Roehl Bible 1937

Wakulima wabaya.(1-12: Mat. 21:33-46; Luk. 20:9-19.)

1Akaanza kusema nao kwa mifano. Mtu alipanda mizabibu, akaizungusha ugo, akachimbua kamulio la kuzikamulia zabibu, ajenga dungu, akaipangisha wakulima, kisha akaenda katika nchi nyingine.Kufufuka.(18-27: Mat. 22:23-33; Luk. 20:27-38.)

18Masadukeo wanaosema: Hakuna ufufuko walipokuja kwake wakamwuliza wakisema:

19Mfunzi, Mose alituandikia kama hivi: Mtu akifiwa na mkubwa wake aliyeacha mkewe, lakini hakuacha mwana, nduguye amchukue huyo mke, amzalie mkubwa wake mwana.Mwana wa Dawidi.(35-37: Mat. 22:41-46; Luk. 20:41-44.)

35Yesu alipofundisha hapo Patakatifu akawauliza akisema: Waandishi husemaje, ya kuwa Kristo ni mwana wa Dawidi?

36Dawidi mwenyewe alisema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu:

Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti kuumeni kwangu,

mpaka niwaweke adui zako chini miguuni pako!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help