Mashangilio 1 - Swahili Roehl Bible 1937

Kitabu cha kwanza.(Sh. 1—41.)Wamchao Mungu hufanikiwa, wasiomcha hupotea.

1*Mwenye shangwe ni mtu asiyefuata shauri lao wasiomcha Mungu, asiyesimama njiani kwao wakosaji, asiyekaa penye kao la wafyozaji.

4Lakini wasiomcha Mungu sivyo walivyo, wao hufanana na makapi, upepo uyapeperushayo.Sh. 35:5; Iy. 21:18; Hos. 13:3.

5Kwa hiyo wasiomcha Mungu hawataopolewa kwenye mapatilizo, wala wakosaji kwenye mkutano wao waongofu.

6Kwani Bwana huijua njia yao walio waongofu, lakini njia yao wasiomcha Mungu itapotea.*

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help