1Mbingu zinausimulia utukufu wake Mungu, yaliyoko juu huyatangaza matendo ya mikono yake.
7Maonyo yake Bwana yanayo kweli yote, hutuliza roho; ushahidi wake Bwana hutegemeka, hupambanusha wapumbavu.
11Kisha mtumwa wako huonywa nayo, kuyashika huleta mapato mengi.
12Yuko nani ajuaye po pote, alipopotelewa? Uning'aze, yaniondokee nayo makosa yajifichayo!
14Maneno ya kinywa changu sharti yakupendeze, nayo mawazo ya moyo wangu sharti yawe wazi mbele yako, Bwana, wewe ndiwe mwamba wangu na mkombozi wangu.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.