2 Mose 4 - Swahili Roehl Bible 1937

Mose anashindwa na Mungu.

1Mose akajibu kwamba: Lakini hawatanitegemea, wala hawataisikia sauti yangu, kwani watasema: Bwana hakukutokea.

2Ndipo, Bwana alipomwuliza: Mkononi mwako unashika nini? Akasema: Fimbo.

3Akamwambia: Itupe chini! Akaitupa chini; ndipo, ilipogeuka kuwa nyoka, naye Mose akamkimbia.

24Ikawa njiani, walipokuwa kituoni, Bwana akamjia akitaka kumwua.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help